Facebook LIKE

Sunday, June 24, 2012

Picha za Gari ya rapper Soulja Boy alivyopata ajali jana na alichoandika kwenye Twitter baada ya ajali

SOULJA BOY
Soulja Boy car accident
BENTLEY YA RAPPER SOULJA BOY ALIPOPATA AJALI
Soulja Boy got into a car accident in his gleaming red Bentley
AJALI ILIVYOKUWA

Soulja Boy Tweeted>>Too all my fans sorry for not tweeting, but yest what happened. I was in a car accident. I need time to my self.. sorry I'll tweet l8r

Soulja Boy Tweeted>>Yeah me too fans My life is more important than a 250k+ car I paid for cash. I got a 2013 Audi 5mins after the accident so I must be blessed

Soulja Boy Tweeted>>I know my fans want me to make a statement, yes I crashed my bentley yesterday. as YES I was MAD AS FUCK. But I got a new Audi in 5mins. but         

Mwanamke aliyekuwa anaendesha gari lengine lilohusika katika ajali hiyo akizungumza na mtandao wa TMZ amesema gari la Soulja Boy ndiye lililomvaa wakati yeye akiwa anasubiri mataa ya mruhusu.

Ili inasemekana kuwa rapper SouljaBoy yeye alikuwa anaendeshwa na bodyguard wake kwahiyo yeye hakuwa anaendesha na polisi bado wanafanya uchunguzi kujua nani alikuwa chanzo wa ajali hiyo.Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyeumia zaidi ya magari hayo kuharibika.Dakika chache baada ya ajali hiyo Soulja Boy alinunua ndinga mpya AUDI ya 2013.

No comments:

Post a Comment