Facebook LIKE

Tuesday, June 26, 2012

Angalia gari mpya aliyonunua rapper Soulja Boy dakika 5 tu baada ya kupata ajali na gari yake nyingine pia anaelezea mwenyewe ajali ilivyotokea.......!



Soulja Boy car accident
HII NDO ALIYOPATA NAYO AJALI "RED BENTLEY YA MWAKA 2013"
HII NDO ALIYONUNUA BAADA YA HIYO NYINGINE KUPATA AJALI "AUDI YA MWAKA 2013"
HAPA GARI YAKE BENTLEY IKITOLEWA KATIKA ENEO AJALI ILIPOTOKEA  

Rapper huyo pia alikuwa ameitungia nyimbo gari yake iliyopata ajali Bentley.Nyimbo hiyo ilikuwa inaitwa "RED BENTLEY"*nyimbo ipo humu.

No comments:

Post a Comment