Facebook LIKE

Tuesday, June 19, 2012

Picha za baadhi ya wachezaji walioanza kuwasili leo YANGA hizi hapa,Mwape nae ndani angalia hapa...!!


Mshambuliaji Mzambia, Davies Mwape ambaye imeelezwa ameachwa Yanga, akiwa makao makuu ya klabu hiyo makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam baada ua kuwasili leo kutoka kwao, tayari kuanza mazoezi. Je, nini hatima yake
Beki Ibrahim Job akiwa na mwanachama wa klabu hiyo
Kocha wa makipa Mfaume Athumani kulia akiwa Kaimu Kocha Mkuu, Freddy Felix Minziro leo Jangwani.
NDANI YA GHETTO; Chumbani kutoka kulia ni Godfrey Taita, Julius Mrope, Nadir Haroub 'Cannavaro' na Stefano Mwasyika aliyeipa kisogo kamera.


Pius Kisambale

No comments:

Post a Comment