Facebook LIKE

Tuesday, November 6, 2012

Huyu ndo mtangazaji anayekuja kwa kasi Bongo mwenye ndoto za kuja kuwa......!!


  •  Ana ndoto za kufika mbali katika utangazaji Bongo
  • Afunguka na kusema anavutiwa na utangazaji wa Big Tiger na Ezden
  • Pia anawakilisha kundi maarufu la WAKACHA
HUYU NDO ABBA MOKO


Abbas Yussuph,21,ana dream ya kuwa Big Tigger wa baadae hapa +255 (Tz) kwenye suala la utangazaji,Abbas maarufu kwa jina la utangazaji ‘’Abba Moko’’ ni mwanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari(DSJ) aki-persue Dipolma in Jornalism,anamapenzi makubwa na suala la utangazaji na kwa sasa anashikilia cheo cha muingizaji sauti ya matangazo ya bush hapo chuoni kwake na kuendesha bush hizo az a hoster, pia ni ripota wa entertainment newz @BarmedasTv ya jijin Mwanza. "Huu ni mwanzo mzuri wa kufikia ndoto zangu za kuwa bonge la mtangazaji na  muendeshaji wa matamasha makubwa hapa Tanzania’’
 Kama ilivyo kwa watu wengi, Abba Moko nae ana mtu anayemuangalia kama kioo chake,’’I have been idolizing one of the hottest presenter in Tanzania, Ezden The Rocker wa Kiss Fm."

Ezden Jumanne"Ezden The Rocker" kushoto

"Napenda anavyohost vipindi vyake na  anavyojiweka kinidhamu akiwa kwenye kipindi",anafunguka Abba. Lakini pia ukitoka nje ya Tz land kuna mtu ambaye Abba anampenda na hapa ni moja kwa moja tunashuka pale kwa Obama Marekani, BET na tunamuangalia jamaa anaejiita Big Tigga ambaye ni mtangazaji na muendeshaji wa vipindi vya BET
BIG TIGGER NA ABBA MOKO



Pia ukiachilia mbali na suala la utangazaji Abba anapenda sana kuwa muandaaji(producer) wa vipindi mbali mbali pamoja na graphit design.’’Sitaki niwe mtu hasiyejua vitu vingi kwenye fani yangu ya utangazaji kwahiyo napenda sana niwe producer wa vipind na matangazo pamoja na graphit design, kwa hiyo mwakani ntapiga shule kuhusu hizi mambo hapo kwa majiran zetu Kenya na very soon naachia ma program goes by de name’’Freestyle Session’’ ni cha mambo ya freestyle kwa undergroundz wakal ambacho kitakuwa kinarushwa kupitia blog yangu SWAGG ZA KITAA kwahiyo fanz wangu na raia wote get ready 4dat’’, ndivyo alivyomalizia kijana huyo mwenye migogo na swagga za kikaka zaidi.Pia Abba Moko ni member wa kundi la muziki lijulikanalo kama ‘’THE SWITCH’’ linaloundwa na Gyan Bobic,Joshy Joh na Abba Moko mwenyewe na kundi hilo lipo ndani ya kundi maarufu la WAKACHA WARRIORS under Flow Ze Banks ,Cyrill"KAMIKAZE" na Jux Vuitton kwahiyo kwa pamoja wanatengeneza kundi linaloitwa (TSWW)
Kutoka kushoto ni Kricha,Jux,Cyrill,GiggaFlow,AbbaMoko,JoshyJoh na GyanBobic
GYAN BOBIC,ABBA MOKO(katikati)na JOSHY JOH
WAKIWAKILISHA KUNDI LA"THE SWITCH"
Kundi hilo are in de booth ready kwa kupika mkwaju mkali waliomshirikisha Flow,Kricha na C.E.O wao Cyrill Kamikaze,na pia kwa xaxa limeachia tshirt zao zinazojulikana km #TEAM DE SWITCH,fashion on fashion..code on code ambazo zimeonekana kufanya vizur kwa raia wengi na funz wao pia.
T-SHIRTS ZA "TEAM DE SWITCH"

T-SHIRTS ZA #TEAM DE SWITCH PIA ZIPO SOKONI 
KWA WANAOHITAJI T-SHIRTS HIZI WASILIANA KWA NAMBA HII +255654781281 au cheki na Facebook hii>>Abba Moko