Facebook LIKE

Sunday, May 27, 2012

DogoAslay:Nilimtungia nyimbo sugarmummy

Msanii kutoka TMK bwana mdogo DogoAslay amefunguka na kusema kuwa alimtungia wimbo shuga mummy ambaye alikuwa anamsumbua na kumtaka kimapenzi msanii huyo amesema hayo baada ya kuhojiwa na mmoja ya kituo cha redio.Wimbo huo ambao ni (Nataka uwe wangu) alimshirikisha Temba pia kutoka TMK.Wadau wengi wa tasnia ya muziki hawakuupokea vizuri wimbo huo kutokana na kusema ni bado mdogo kuanza kuimba nyimbo za mapenzi DogoAslay mwenye miaka16 amesema sugar mummy anayemtaka ni kama mama yake.

No comments:

Post a Comment