Facebook LIKE

Sunday, May 27, 2012

Baadhi ya picha ya hali ilivyokuwa Zanzibar



Zanzibar inazidi kuchafuka kutokana na maandamano ya baadhi ya raia wakitaka kujitoa kwa Zanzibar katika muungano na kupinga muungano na Tanzania bara.Hizo ni baadhi ya picha ya hali ilivyokuwa Zanzibar

No comments:

Post a Comment