Facebook LIKE

Sunday, May 27, 2012

Baadhi ya picha za wachezaji,mashabiki wa Simba ndani ya DarLive kwenye sherehe za ubingwa na kumuenzi marehemu,PatrickMafisango

w
 Wakijivinjari jijini Simba mapema
 Mashabiki wengi wakiwa kwenye msafara wa Wekundu hao

 Amos Makalla(alikuwa mgeni rasmi ndani ya DarLive) na Geofrey Kaburu(makamu mwenyekiti wa Simba)
 Mzee Ngurumo nae ndani
 Saleh Ally na Hassan Dalali
          Biashara nazo zilichukua nafasi yake
 Mashabiki
 Isha Mashauzi kabla hajapanda stegini
 Juma Kaseja bado alilimlilia Mafisango
Dua kwa ajiri ya Mafisango

No comments:

Post a Comment