Facebook LIKE

Wednesday, August 1, 2012

Mrisho Ngassa asema hajui chochote kuhusu Simba na hatojiunga na timu hiyo..!!


Ngassa ameuzwa Simba kama kiroba cha mchele,Azam hawajaongea na Ngassa pia Ngassa mwenyewe hajaongea na Simba juu ya huu uhamisho. Namnukuu ' mimi sina Taarifa official za kuuzwa Simba,sijafanya mazungumzo na azam pamoja na Simba juu ya uhamisho,kifupi Sitajiunga na Simba ! Nimemaliza kumnukuu Mrisho Ngassa.

No comments:

Post a Comment