Facebook LIKE

Wednesday, August 22, 2012

Baadhi ya picha za duka la linalomilikiwa na rapper Soulja Boy alilolifungua hivi karibuni..!!

RAPPER TWISTA ALIJITOKEZA KUMSAPOTI SOULJA BOY 
BUN_B NAE ALIJITOKEZA KUMPA SAPOTI SOULJA BOY
SOULJA BOY AKIWA KATIKA DUKA LAKE
SOULJA BOY AKIWA NA MMOJA YA MASHABIKI WAKE KWENYE DUKANI LAKE
Add caption
BAADHI YA WATU WALIOJITOKEZA KWENYE DUKA HILO
SOULJA BOY AKIWA NA MASHABIKI WAKE
TUNECHI(LilWayne) nae
soulja boy


Na hichi ndicho alichokiandika kwenye Twitter account yake SOULJA BOY

Na kama upo Twitter waweza Kutufollow pia kupitia hapa;

Mshindi wa shindano la Bibi Bomba huyu hapaa....!!



 Shindano ambalo lilikuwa likionyeshwa na kuandaliwa na Clouds Media Group kupitia kituo chake cha CLOUDS TV.Ambapo baadhi ya mabibi walikusanywa na kuwekwa pamoja huku kila mmoja akionyesha kipaji,ufundi na utundu alionao na bibi aliyeibuka kidedea ndo kama unavyomuona hapo chini;
Veronica Mpangala  a.k.a Tukinao

Monday, August 20, 2012

Kigamboni ya miaka ijayo....!! Itakuwa kama hivi....!!Hebu cheki kama haukuiona hii


THE KIGAMBONI NEW CITY PLAN(Official) from Kelly Kelvin on Vimeo.

Yanga yaichakaza African Lyon katika Uwanja wa Taifa....!!


KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA AFRICAN LYON
Mabao yaliyowekwa wavuni na Haruna Niyonzima,Simon Msuva,Jerry Tegete na moja la kujifunga yalitosha kuipa ushindi wa mabao 4-0,Mabingwa wa Kombe la Kagame,Yanga katika mchezo wa kirafiki dhidi ya klabu ya African Lyon.Katika mchezo huo ulichezwa kwenye uwanja wa Taifa,Dar es salaam.

Yanga walianza kuhesabu mabao hayo katika dakika ya 8 ambapo mabeki wa African Lyon wakiwa katika harakati za kuokoa mchumo ulioelekezwa langoni kwao walijikuta wakijifunga wenyewe,Hadi mapumziko Yanga walikuwa wanaongoza kwa goli hilo moja.
SHAMTE,KAVUMBAGU,TEGETE na MSUVA
Katika kipindi cha pili cha mchezo huo Yanga walifanya mabadiliko kwa kumtoa Hamis Kiiza na nafasi yake kuchukuliwa na Jerry Tegete.Mabadiliko hayo yalionekana kuisaidia Yanga na ndipo katika dakika ya 54 kiungo mchezeshaji Haruna Niyonzima alipoipatia Yanga bao la pili kwa njia ya mkwaju wa penati baada ya madhambi kufanyika katika lango la African Lyon.Katika dakika ya 72 mshambuliaji mpya chipukizi wa Yanga,Simon Msuva aliipatia Yanga bao la tatu kabla ya Jerry Tegete kukamilisha idadi ya mabao manne katika dakika ya 90 ya mchezo huo.
SIMON MSUVA AKISHANGILIA BAO ALILOFUNGA
Kikosi cha Yanga kilikuwa hivi:

Gazeti La Ijumaa>>Unafiki wa Wema Sepetu na Snura.Kisa ni...!!

http://api.ning.com/files/-xhPZ98Kq7naU4FFcReIiALFoGdWOAilKJUB-w9AWqD8WimuhkfJ-5zodXhv2iPTBKUqpP3pBieSWphQctsTvYvNOdfpYg7x/UZINDUZIWAFILAMUYA8.JPG
WEMA NA SNURA
USHOSTITO wa Wema Sepetu na Snura Mushi uliodumu kwa miezi kadhaa umeraruliwa ukidaiwa kuvunjika kwa kuwa ulikuwa wa kinafiki kutokana na kuvunja kiapo walichokula runingani kuwa hatawaachana, Ijumaa Wikienda limejazwa werawera na wabaya wao.
MTU WA KARIBU ATIRIRIKA
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa mastaa hao, Wema na Snura walikuwa marafiki vinyonga kwani kila mtu alijua muda siyo mrefu watasalitiana na kuanza kuvujisha siri zao na hicho ndicho kilichotokea.
KISA NI NINI?
Kwa mujibu wa chanzo hicho, Wema alidai kuwa Snura amemsema vibaya kwa ndugu zake na kutangaza kwa wanahabari kuwa amerudiana na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, jambo ambalo lilimchukiza.
Chanzo kilitiririka kuwa baada ya urafiki huo kuvunjika, Wema alimnyang’anya Snura vitu vyote ambavyo alikuwa amemnunulia na kuanzia hapo mawasiliano baina yao yalikatika.
“Snura ameamua kuvunja kile kiapo alichokula runingani kwa machozi, sasa sijui atapata wapi yale mawigi aliyokuwa akipewa na Wema?,” kilihoji chanzo na kuingia mitini.
SNURA ANASEMAJE?
Alifunguka: “Mimi sijui sababu ya urafiki wetu kuvunjika kwa sababu Wema hajaniambia, angekuwa ni mtu mwenye akili na busara angenieleza.”
NYUMBANI KWA WEMA
Ili kupata mzani wa habari hiyo, Ijumaa Wikienda lilimpigia simu Wema lakini haikupokelewa hivyo likatimba nyumbani kwake ambapo wakiongozwa na Vincent Kigosi ‘Ray’, wasanii hao walitumia nafasi yao kumkashifu mwandishi wetu kwa maneno mabaya yasiyoandikika gazetini, tunayafanyia kazi.

Friday, August 10, 2012

Huyu ndo msanii wa kwanza kusign kwaajiri ya shoo za FIESTA 2012 Bongo...!!

Kila mwaka matamasha makubwa ya Fiesta huwa yanafanyika nchi ikiwa ndo yanaelekea kuanza kwa matamasha hayo ambayo hufanyika nchi.Huyu ndo msanii wa kwanza wa Kibongo kusign kwaajili ya kufanya shoo hizo za FIESTA 2012
SHETTA
Baada ya kusign Shetta aliandika kwenye account yake ya BBM kuwa;

Thursday, August 9, 2012

Video ya Agnes Masogange ya ngono hii hapa...!!Tunaomba radhi kwa watakao kereka nayo.


  • Tunaomba radhi kwa watakao kereka nayo.
  • Kama haikufai usiitazame


Monday, August 6, 2012